Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 39:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Pamoja na hayo akampofusha macho Sedekia, akamfunga kwa pingu ili amchukue mpaka Babeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Kisha alingoa macho yake Sedekia na kumfunga pingu, ili ampeleke Babuloni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Kisha alingoa macho yake Sedekia na kumfunga pingu, ili ampeleke Babuloni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Kisha aling'oa macho yake Sedekia na kumfunga pingu, ili ampeleke Babuloni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kisha akayang’oa macho ya Sedekia na kumfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kisha akayang’oa macho ya Sedekia na kumfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.

Tazama sura Nakili




Yeremia 39:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake, wakampofusha macho Sedekia, wakamfunga kwa pingu, wakamchukua mpaka Babeli.


Nitazitii amri zako, Usiniache kabisa.


Maana BWANA asema hivi, Tazama, nitakufanya kuwa hofu kuu kwa nafsi yako, na kwa rafiki zako wote; nao wataanguka kwa upanga wa adui zao, na macho yako yataona hayo; nami nitatia Yuda yote katika mikono ya mfalme wa Babeli, naye atawachukua mateka mpaka Babeli, na kuwaua kwa upanga.


tena wewe hutaokoka mkononi mwake, lakini hakika utakamatwa, na kutiwa katika mikono yake; na utatazamana macho kwa macho na mfalme wa Babeli, naye atasema nawe mdomo kwa mdomo, nawe utakwenda Babeli.


BWANA asema hivi, Tazama, nitamtia Farao Hofra, mfalme wa Misri, katika mikono ya adui zake, na katika mikono yao wamtafutao roho yake; kama vile nilivyomtia Sedekia, mfalme wa Yuda, katika mikono ya Nebukadneza, mfalme wa Babeli, adui yake aliyeitafuta roho yake.


Akampofusha macho Sedekia; tena mfalme wa Babeli akamfunga kwa pingu, akamchukua mpaka Babeli, akamtia gerezani hata siku ya kufa kwake.


Tena wavu wangu nitautandika juu yake, naye atanaswa kwa mtego wangu; nami nitampeleka Babeli, mpaka nchi ya Wakaldayo; lakini hataiona, ingawa atakufa huko.


Wafilisti wakamkamata, wakamng'oa macho; wakateremka naye mpaka Gaza, wakamfunga kwa vifungo vya shaba; naye alikuwa akisaga ngano katika gereza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo