Yeremia 39:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Lakini nitakuokoa wewe katika siku hiyo, asema BWANA; wala hutatiwa katika mikono ya watu wale unaowaogopa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Lakini siku hiyo mimi nitakuokoa wewe, wala hutatiwa mikononi mwa watu unaowaogopa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Lakini siku hiyo mimi nitakuokoa wewe, wala hutatiwa mikononi mwa watu unaowaogopa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Lakini siku hiyo mimi nitakuokoa wewe, wala hutatiwa mikononi mwa watu unaowaogopa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Lakini siku hiyo nitakuokoa, asema Mwenyezi Mungu; hutatiwa mikononi mwa wale unaowaogopa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Lakini siku hiyo nitakuokoa, asema bwana; hutatiwa mikononi mwa wale unaowaogopa. Tazama sura |