Yeremia 39:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Basi neno la BWANA likamjia Yeremia, wakati ule alipokuwa amefungwa katika ukumbi wa walinzi, kusema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia wakati alipokuwa amefungwa katika ukumbi wa walinzi: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia wakati alipokuwa amefungwa katika ukumbi wa walinzi: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia wakati alipokuwa amefungwa katika ukumbi wa walinzi: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Yeremia alipokuwa amezuiliwa katika ua wa walinzi, neno la Mwenyezi Mungu lilimjia kusema: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Wakati Yeremia alipokuwa amezuiliwa katika ua wa walinzi, neno la bwana lilimjia kusema: Tazama sura |