Yeremia 38:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Naye mfalme Sedekia akasema, Tazama, yuko mikononi mwenu; maana mfalme siye awezaye kufanya neno lolote kinyume chenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mfalme Sedekia akasema, “Haya! Mtu huyu yumo mikononi mwenu; mimi siwezi kuwapinga.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mfalme Sedekia akasema, “Haya! Mtu huyu yumo mikononi mwenu; mimi siwezi kuwapinga.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mfalme Sedekia akasema, “Haya! Mtu huyu yumo mikononi mwenu; mimi siwezi kuwapinga.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mfalme Sedekia akajibu, “Yeye yuko mikononi mwenu! Mfalme hawezi kufanya lolote kuwapinga ninyi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Mfalme Sedekia akajibu, “Yeye yuko mikononi mwenu! Mfalme hawezi kufanya lolote kuwapinga ninyi.” Tazama sura |