Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 38:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Ndipo Sedekia akamwambia Yeremia, Mtu yeyote asipate habari ya maneno haya, nawe hutakufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Sedekia akamwambia Yeremia: “Mtu yeyote asijue habari hizi, nawe hutauawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Sedekia akamwambia Yeremia: “Mtu yeyote asijue habari hizi, nawe hutauawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Sedekia akamwambia Yeremia: “Mtu yeyote asijue habari hizi, nawe hutauawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Kisha Sedekia akamwambia Yeremia, “Usiruhusu mtu yeyote ajue kuhusu haya mazungumzo, la sivyo utakufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Kisha Sedekia akamwambia Yeremia, “Usiruhusu mtu yeyote ajue kuhusu haya mazungumzo, la sivyo utakufa.

Tazama sura Nakili




Yeremia 38:24
3 Marejeleo ya Msalaba  

ndipo Sedekia, mfalme, akatuma watu wamlete; naye mfalme akamwuliza kwa siri ndani ya nyumba yake, akasema, Je! Liko neno lililotoka kwa BWANA? Yeremia akasema, Liko. Akasema pia, Utatiwa katika mikono ya mfalme wa Babeli.


Na watawatoa wake zako, na watoto wako wote, na kuwachukua kwa Wakaldayo; wala wewe hutapona na mikono yao, bali utakamatwa kwa mkono wa mfalme wa Babeli, nawe utakuwa sababu ya kuteketezwa mji huu.


Lakini kama wakuu wakisikia ya kuwa nimenena nawe, nao wakija kwako, na kukuambia, Tufunulie sasa uliyomwambia mfalme; usimfiche, nasi hatutakuua; na pia uliyoambiwa na mfalme;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo