Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 37:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Ndipo neno la BWANA likamjia nabii Yeremia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Ndipo neno la Mwenyezi-Mungu likamjia nabii Yeremia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Ndipo neno la Mwenyezi-Mungu likamjia nabii Yeremia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Ndipo neno la Mwenyezi-Mungu likamjia nabii Yeremia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Ndipo neno la Mwenyezi Mungu likamjia nabii Yeremia kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Ndipo neno la bwana likamjia nabii Yeremia kusema:

Tazama sura Nakili




Yeremia 37:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

angalia maboma haya; wameujia mji huu ili kuutwaa; na mji huu umetiwa katika mikono ya Wakaldayo wanaopigana nao, kwa sababu ya upanga, na njaa, na tauni; na hayo uliyosema yamekuwa; na, tazama, wewe unayaona.


Kwa maana Sedekia, mfalme wa Yuda, alikuwa amemfunga, akisema, Kwa nini unatabiri, na kusema, BWANA asema hivi, Angalia, nitatia mji huu katika mikono ya mfalme wa Babeli, naye atautwaa;


Na jeshi la Farao lilikuwa limetoka nchi ya Misri; na Wakaldayo waliohusuru Yerusalemu, waliposikia habari zao, wakavunja kambi yao mbele ya Yerusalemu.


BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi; Mtamwambia hivi mfalme wa Yuda, aliyewatuma kwangu kuniuliza; Angalieni, jeshi la Farao, ambalo linakuja kuwasaidia, litarudi Misri, nchi yao wenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo