Yeremia 37:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Lakini yeye, wala watumishi wake, wala watu wa nchi, hawakuyasikiliza maneno ya BWANA aliyonena kwa kinywa cha nabii Yeremia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Lakini Sedekia na maofisa wake pamoja na wananchi wa Yuda hawakusikiliza maonyo ya Mwenyezi-Mungu aliyotoa kwa njia ya nabii Yeremia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Lakini Sedekia na maofisa wake pamoja na wananchi wa Yuda hawakusikiliza maonyo ya Mwenyezi-Mungu aliyotoa kwa njia ya nabii Yeremia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Lakini Sedekia na maofisa wake pamoja na wananchi wa Yuda hawakusikiliza maonyo ya Mwenyezi-Mungu aliyotoa kwa njia ya nabii Yeremia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya Mwenyezi Mungu aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya bwana aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia. Tazama sura |