Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 37:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Hata ikawa, jeshi la Wakaldayo lilipokuwa limevunja kambi yao mbele ya Yerusalemu, kwa kuliogopa jeshi la Farao,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalemu kuliepa jeshi la Farao lililokuwa linakaribia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalemu kuliepa jeshi la Farao lililokuwa linakaribia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalemu kuliepa jeshi la Farao lililokuwa linakaribia,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao,

Tazama sura Nakili




Yeremia 37:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Maana mngelipiga jeshi lote la Wakaldayo wanaopigana nanyi, wakabaki kati yao watu waliojeruhiwa tu, hata hivyo wangeondoka kila mtu katika hema yake, na kuuteketeza mji huu.


ndipo Yeremia akatoka Yerusalemu, ili aende mpaka katika nchi ya Benyamini, alipokee huko fungu lake kati ya watu.


Na jeshi la Farao lilikuwa limetoka nchi ya Misri; na Wakaldayo waliohusuru Yerusalemu, waliposikia habari zao, wakavunja kambi yao mbele ya Yerusalemu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo