Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 35:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 wala tusijijengee nyumba za kukaa; wala hatuna shamba la mizabibu, wala shamba, wala mbegu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Sisi hatujijengei nyumba za kuishi. Hatuna mashamba ya mizabibu wala mashamba ya kulima na kupanda mbegu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Sisi hatujijengei nyumba za kuishi. Hatuna mashamba ya mizabibu wala mashamba ya kulima na kupanda mbegu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Sisi hatujijengei nyumba za kuishi. Hatuna mashamba ya mizabibu wala mashamba ya kulima na kupanda mbegu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 wala kujenga nyumba za kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, mashamba au mazao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 wala kujenga nyumba za kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, mashamba au mazao.

Tazama sura Nakili




Yeremia 35:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Je! Moyo wangu haukuenda na wewe, hapo alipogeuka yule mtu katika gari ili akulaki? Je! Huu ndio wakati wa kupokea fedha, na kupokea mavazi, na mashamba ya mizeituni, na mizabibu, na kondoo, na ng'ombe, na watumwa, na wajakazi?


Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi.


wala msijenge nyumba, wala msipande mbegu, wala msipande mizabibu, wala msiwe nayo; bali siku zenu zote mtakaa katika hema; mpate kuishi siku nyingi katika nchi ambayo mtakaa ndani yake kama wageni.


Kisha, hukutuleta katika nchi iliyojawa na maziwa na asali, wala hukutupa urithi wa mashamba, na mashamba ya mizabibu; je! Unataka kuwatoboa macho watu hawa? Hatuji.


Lakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo