Yeremia 35:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 wala tusijijengee nyumba za kukaa; wala hatuna shamba la mizabibu, wala shamba, wala mbegu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Sisi hatujijengei nyumba za kuishi. Hatuna mashamba ya mizabibu wala mashamba ya kulima na kupanda mbegu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Sisi hatujijengei nyumba za kuishi. Hatuna mashamba ya mizabibu wala mashamba ya kulima na kupanda mbegu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Sisi hatujijengei nyumba za kuishi. Hatuna mashamba ya mizabibu wala mashamba ya kulima na kupanda mbegu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 wala kujenga nyumba za kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, mashamba au mazao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 wala kujenga nyumba za kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, mashamba au mazao. Tazama sura |