Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 35:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Basi nikamtwaa Yaazania, mwana wa Yeremia, mwana wa Habasinia, na ndugu zake, na wanawe wote, na nyumba yote ya Warekabi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Basi, nikamchukua Yaazania mwana wa Yeremia, mwana wa Habazinia, na ndugu zake pamoja na wanawe wote na ukoo wote wa Warekabu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Basi, nikamchukua Yaazania mwana wa Yeremia, mwana wa Habazinia, na ndugu zake pamoja na wanawe wote na ukoo wote wa Warekabu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Basi, nikamchukua Yaazania mwana wa Yeremia, mwana wa Habazinia, na ndugu zake pamoja na wanawe wote na ukoo wote wa Warekabu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Basi nikaenda kumwita Yaazania mwana wa Yeremia, mwana wa Habazinia, na ndugu zake na wanawe wote, yaani jamaa nzima ya Warekabi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Basi nikaenda kumwita Yaazania mwana wa Yeremia, mwana wa Habazinia, na ndugu zake na wanawe wote, yaani jamaa nzima ya Warekabi.

Tazama sura Nakili




Yeremia 35:3
2 Marejeleo ya Msalaba  

Nenda nyumbani kwa Warekabi, ukanene nao, ukawalete nyumbani kwa BWANA, katika chumba kimoja, ukawape divai wanywe.


nikawaleta ndani ya nyumba ya BWANA, ndani ya chumba cha wana wa Hanani, mwana wa Igdalia, mtu wa Mungu, kilichokuwa karibu na chumba cha wakuu, nacho kilikuwa juu ya chumba cha Maaseya, mwana wa Shalumu, bawabu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo