Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 35:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Ndipo neno la BWANA likamjia Yeremia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kisha neno la Mwenyezi-Mungu likamjia Yeremia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kisha neno la Mwenyezi-Mungu likamjia Yeremia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kisha neno la Mwenyezi-Mungu likamjia Yeremia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Ndipo neno la Mwenyezi Mungu likamjia Yeremia kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Ndipo neno la bwana likamjia Yeremia kusema:

Tazama sura Nakili




Yeremia 35:12
2 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ikawa, Nebukadneza, mfalme wa Babeli, alipopanda akaingia nchi hii, ndipo tukasema, Haya! Twende Yerusalemu, kwa kuliogopa jeshi la Wakaldayo, na kwa kuliogopa jeshi la Washami; ndiyo maana sasa tunaishi Yerusalemu.


BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nenda ukawaambie wana wa Yuda, na wenyeji wa Yerusalemu, Je! Hamtaki kupokea mafundisho, myasikilize maneno yangu? Asema BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo