Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 35:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 bali tumekaa katika hema, nasi tumetii; tukafanya sawasawa na yote aliyotuamuru Yonadabu, baba yetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Sisi tumeishi katika mahema na kutii mambo yote ambayo Yonadabu, mzee wetu, alituamuru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Sisi tumeishi katika mahema na kutii mambo yote ambayo Yonadabu, mzee wetu, alituamuru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Sisi tumeishi katika mahema na kutii mambo yote ambayo Yonadabu, mzee wetu, alituamuru.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu.

Tazama sura Nakili




Yeremia 35:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wakasema, Hatutakunywa divai; kwa maana Yonadabu, mwana wa Rekabu, baba yetu, alituamuru, akisema, Msinywe divai, ninyi wala wana wenu, hata milele;


wala msijenge nyumba, wala msipande mbegu, wala msipande mizabibu, wala msiwe nayo; bali siku zenu zote mtakaa katika hema; mpate kuishi siku nyingi katika nchi ambayo mtakaa ndani yake kama wageni.


Mtakaa katika vibanda muda wa siku saba; wazaliwa wote wa Israeli watakaa katika vibanda;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo