Yeremia 35:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 bali tumekaa katika hema, nasi tumetii; tukafanya sawasawa na yote aliyotuamuru Yonadabu, baba yetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Sisi tumeishi katika mahema na kutii mambo yote ambayo Yonadabu, mzee wetu, alituamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Sisi tumeishi katika mahema na kutii mambo yote ambayo Yonadabu, mzee wetu, alituamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Sisi tumeishi katika mahema na kutii mambo yote ambayo Yonadabu, mzee wetu, alituamuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu. Tazama sura |