Yeremia 34:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Hata hivyo lisikie neno la BWANA, Ee Sedekia, mfalme wa Yuda; BWANA asema hivi kukuhusu; hutakufa kwa upanga; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Lakini, ewe Sedekia, mfalme wa Yuda, mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi juu yako: Wewe hutauawa kwa upanga vitani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Lakini, ewe Sedekia, mfalme wa Yuda, mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi juu yako: Wewe hutauawa kwa upanga vitani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Lakini, ewe Sedekia, mfalme wa Yuda, mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi juu yako: Wewe hutauawa kwa upanga vitani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 “ ‘Lakini sikia ahadi ya Mwenyezi Mungu, ee Sedekia mfalme wa Yuda. Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu kuhusu wewe: Hutakufa kwa upanga, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 “ ‘Lakini sikia ahadi ya bwana, ee Sedekia mfalme wa Yuda. Hili ndilo asemalo bwana kukuhusu: Hutakufa kwa upanga, Tazama sura |