Yeremia 33:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 BWANA alitendaye jambo hili, BWANA aliumbaye ili alithibitishe; BWANA ndilo jina lake; asema hivi, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Mwenyezi-Mungu aliyeiumba dunia, Mwenyezi-Mungu aliyeifanya na kuiimarisha dunia, ambaye jina lake ni Mwenyezi-Mungu, aliniambia, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Mwenyezi-Mungu aliyeiumba dunia, Mwenyezi-Mungu aliyeifanya na kuiimarisha dunia, ambaye jina lake ni Mwenyezi-Mungu, aliniambia, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Mwenyezi-Mungu aliyeiumba dunia, Mwenyezi-Mungu aliyeifanya na kuiimarisha dunia, ambaye jina lake ni Mwenyezi-Mungu, aliniambia, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, yeye aliyeumba dunia, Mwenyezi Mungu aliyeifanya na kuithibitisha, Mwenyezi Mungu ndilo jina lake: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Hili ndilo bwana asemalo, yeye aliyeumba dunia, bwana aliyeifanya na kuithibitisha, bwana ndilo jina lake: Tazama sura |