Yeremia 33:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Tazama, siku zinakuja, asema BWANA, nitakapolitimiza neno lile jema nililolinena, kuhusu nyumba ya Israeli, na katika habari za nyumba ya Yuda. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Mwenyezi-Mungu asema: “Siku zaja ambapo nitatimiza ahadi yangu niliyofanya na watu wa Israeli na watu wa Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Mwenyezi-Mungu asema: “Siku zaja ambapo nitatimiza ahadi yangu niliyofanya na watu wa Israeli na watu wa Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Mwenyezi-Mungu asema: “Siku zaja ambapo nitatimiza ahadi yangu niliyofanya na watu wa Israeli na watu wa Yuda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 “ ‘Siku zinakuja,’ asema Mwenyezi Mungu, ‘wakati nitakapotimiza ahadi yangu ya rehema niliyoifanya kwa nyumba ya Israeli na kwa nyumba ya Yuda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 “ ‘Siku zinakuja,’ asema bwana, ‘wakati nitakapotimiza ahadi yangu ya rehema niliyoifanya kwa nyumba ya Israeli na kwa nyumba ya Yuda. Tazama sura |