Yeremia 32:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 naye atamchukua Sedekia mpaka Babeli, naye atakuwako huko hadi nitakapomjia, asema BWANA; mjapopigana na Wakaldayo hamtafanikiwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Sedekia atachukuliwa hadi Babuloni, naye atakaa huko mpaka nitakapomchukulia hatua. Hata kama Sedekia atapigana na Wakaldayo, hatashinda.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Sedekia atachukuliwa hadi Babuloni, naye atakaa huko mpaka nitakapomchukulia hatua. Hata kama Sedekia atapigana na Wakaldayo, hatashinda.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Sedekia atachukuliwa hadi Babuloni, naye atakaa huko mpaka nitakapomchukulia hatua. Hata kama Sedekia atapigana na Wakaldayo, hatashinda.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Atamchukua Sedekia hadi Babeli, mahali atakapoishi hadi nitakapomshughulikia, asema Mwenyezi Mungu. Kama utapigana dhidi ya Wakaldayo, hutashinda.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Atamchukua Sedekia hadi Babeli, mahali atakapoishi mpaka nitakapomshughulikia, asema bwana. Kama utapigana dhidi ya Wakaldayo, hutashinda.’ ” Tazama sura |