Yeremia 31:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Maana kutakuwa siku moja, ambayo walinzi watalia juu ya vilima vya Efraimu, Inukeni, tukaende Sayuni, kwa BWANA, Mungu wetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Maana siku yaja ambapo mlinzi atapiga mbiu katika vilima vya Efraimu: ‘Amkeni, twende juu mpaka Siyoni kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Maana siku yaja ambapo mlinzi atapiga mbiu katika vilima vya Efraimu: ‘Amkeni, twende juu mpaka Siyoni kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Maana siku yaja ambapo mlinzi atapiga mbiu katika vilima vya Efraimu: ‘Amkeni, twende juu mpaka Siyoni kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Siku inakuja ambapo walinzi watapiga kelele juu ya vilima vya Efraimu, wakisema, ‘Njooni, twendeni juu Sayuni, kwake Mwenyezi Mungu, Mungu wetu.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Itakuja siku wakati walinzi watakapowapigia kelele juu ya vilima vya Efraimu wakisema, ‘Njooni, twendeni juu Sayuni, kwake bwana Mwenyezi Mungu wetu.’ ” Tazama sura |