Yeremia 31:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Mara ya pili utapanda mizabibu juu ya milima ya Samaria; wapanzi watapanda, nao watayafurahia matunda yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Utapanda tena mizabibu juu ya milima ya Samaria; wakulima watapanda mbegu na kuyafurahia mazao yake! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Utapanda tena mizabibu juu ya milima ya Samaria; wakulima watapanda mbegu na kuyafurahia mazao yake! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Utapanda tena mizabibu juu ya milima ya Samaria; wakulima watapanda mbegu na kuyafurahia mazao yake! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Utapanda tena shamba la mizabibu juu ya vilima vya Samaria, wakulima watapanda na kufurahia matunda yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Utapanda tena shamba la mizabibu juu ya vilima vya Samaria, wakulima watapanda na kufurahia matunda yake. Tazama sura |