Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 31:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Kwa maana nimeishibisha roho yenye uchovu, nami nimeiridhisha kila roho yenye huzuni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Waliochoka nitawachangamsha, na walegevu nitawapa nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Waliochoka nitawachangamsha, na walegevu nitawapa nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Waliochoka nitawachangamsha, na walegevu nitawapa nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Nitawaburudisha waliochoka na kuwatuliza walio na huzuni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Nitawaburudisha waliochoka na kuwatuliza walio na huzuni.”

Tazama sura Nakili




Yeremia 31:25
14 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hushibisha nafsi yenye shauku, Na nafsi yenye njaa huijaza mema.


Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.


Na mwanadamu atakuwa kama mahali pa kujificha na upepo, na mahali pa kujisitiri na dhoruba; kama mito ya maji mahali pakavu, kama kivuli cha mwamba mkubwa katika nchi yenye uchovu.


Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.


Maskini na wahitaji wanatafuta maji, wala hapana; ndimi zao zimekauka kwa kiu; mimi, BWANA, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.


Bwana MUNGU amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate kusikia kama watu wafundishwao.


Nao watakuja, na kuimba katika mlima Sayuni, wataukimbilia wema wa BWANA, nafaka, na divai, na mafuta, na wachanga wa kondoo na wa ng'ombe; na roho zao zitakuwa kama bustani iliyotiwa maji; wala hawatahuzunika tena kabisa.


Nami nitaishibisha roho ya makuhani kwa unono, na watu wangu watashiba kwa wema wangu, asema BWANA.


Nami nitawalisha malisho mema, pa juu ya milima ya mahali palipoinuka pa Israeli litakuwa zizi lao; huko watalala katika zizi jema; nao watakula malisho mema, juu ya milima ya Israeli.


Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.


Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa.


Wenye njaa amewashibisha mema, Na wenye mali amewaondoa mikono mitupu.


lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.


Lakini Mungu, mwenye kuwafariji wanyonge, alitufariji kwa kuja kwake Tito.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo