Yeremia 31:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Kwa maana nimeishibisha roho yenye uchovu, nami nimeiridhisha kila roho yenye huzuni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Waliochoka nitawachangamsha, na walegevu nitawapa nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Waliochoka nitawachangamsha, na walegevu nitawapa nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Waliochoka nitawachangamsha, na walegevu nitawapa nguvu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Nitawaburudisha waliochoka na kuwatuliza walio na huzuni.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Nitawaburudisha waliochoka na kuwatuliza walio na huzuni.” Tazama sura |