Yeremia 31:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Kwa maana BWANA amemweka huru Yakobo, amemkomboa mkononi mwake aliyekuwa hodari kuliko yeye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Maana mimi Mwenyezi-Mungu nimemkomboa Yakobo, nimemwokoa kutoka kwa wenye nguvu kuliko yeye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Maana mimi Mwenyezi-Mungu nimemkomboa Yakobo, nimemwokoa kutoka kwa wenye nguvu kuliko yeye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Maana mimi Mwenyezi-Mungu nimemkomboa Yakobo, nimemwokoa kutoka kwa wenye nguvu kuliko yeye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Mwenyezi Mungu atamlipia fidia Yakobo na kuwakomboa mkononi mwa walio na nguvu kuliko wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa kuwa bwana atamlipia fidia Yakobo na kuwakomboa mkononi mwa walio na nguvu kuliko wao. Tazama sura |