Yeremia 30:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 bali watamtumikia BWANA, Mungu wao, na Daudi, mfalme wao, nitakayemwinua kwa ajili yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Nao hawatakuwa tena watumwa wa wageni, bali watanitumikia mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, na mfalme wa ukoo wa Daudi ambaye nitawateulia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Nao hawatakuwa tena watumwa wa wageni, bali watanitumikia mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, na mfalme wa ukoo wa Daudi ambaye nitawateulia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Nao hawatakuwa tena watumwa wa wageni, bali watanitumikia mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, na mfalme wa ukoo wa Daudi ambaye nitawateulia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Badala yake, watamtumikia Mwenyezi Mungu, Mungu wao, na Daudi mfalme wao, nitakayemwinua kwa ajili yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Badala yake, watamtumikia bwana, Mungu wao na Daudi mfalme wao, nitakayemwinua kwa ajili yao. Tazama sura |