Yeremia 30:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Ole! Maana siku ile ni kuu, hata hapana inayofanana nayo, maana ni wakati wa taabu yake Yakobo; lakini ataokolewa kutoka kwayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Kweli, siku hiyo ni kubwa, hakuna nyingine kama hiyo; ni siku ya huzuni kwa watu wa Yakobo; hata hivyo, wataokolewa humo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Kweli, siku hiyo ni kubwa, hakuna nyingine kama hiyo; ni siku ya huzuni kwa watu wa Yakobo; hata hivyo, wataokolewa humo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Kweli, siku hiyo ni kubwa, hakuna nyingine kama hiyo; ni siku ya huzuni kwa watu wa Yakobo; hata hivyo, wataokolewa humo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Ole! Kwa kuwa siku ile itakuwa ya kutisha. Hakutakuwa na nyingine kama hiyo. Utakuwa wakati wa dhiki kwa Yakobo, lakini ataokolewa kutoka dhiki hiyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Tazama jinsi ile siku itakavyokuwa ya kutisha! Hakutakuwa na nyingine mfano wake. Utakuwa wakati wa dhiki kwa Yakobo, lakini ataokolewa kutoka hiyo. Tazama sura |