Yeremia 30:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Hasira kali ya BWANA haitarudi, hadi atakapokwisha kutenda na kuyatimiza makusudi ya moyo wake; katika siku za mwisho mtayafahamu haya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Hasira ya Mwenyezi-Mungu haitarudi nyuma, mpaka atakapotekeleza na kukamilisha matakwa ya moyo wake. Siku zijazo mtayaelewa vema mambo hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Hasira ya Mwenyezi-Mungu haitarudi nyuma, mpaka atakapotekeleza na kukamilisha matakwa ya moyo wake. Siku zijazo mtayaelewa vema mambo hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Hasira ya Mwenyezi-Mungu haitarudi nyuma, mpaka atakapotekeleza na kukamilisha matakwa ya moyo wake. Siku zijazo mtayaelewa vema mambo hayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Hasira kali ya Mwenyezi Mungu haitarudi nyuma hadi atakapotimiza makusudi yote ya moyo wake. Siku zijazo mtayaelewa haya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Hasira kali ya bwana haitarudi nyuma mpaka atakapotimiza makusudi yote ya moyo wake. Siku zijazo mtayaelewa haya. Tazama sura |