Yeremia 30:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya majeraha yako, asema BWANA, kwa sababu wamekuita, mwenye kutupwa, wakisema, Ni Sayuni, mji ambao hakuna mtu autakaye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 “Nitakurudishia afya yako, na madonda yako nitayaponya, japo wamekuita ‘Aliyetupwa’, ‘Mji Siyoni usio na wa kuutunza!’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 “Nitakurudishia afya yako, na madonda yako nitayaponya, japo wamekuita ‘Aliyetupwa’, ‘Mji Siyoni usio na wa kuutunza!’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 “Nitakurudishia afya yako, na madonda yako nitayaponya, japo wamekuita ‘Aliyetupwa’, ‘Mji Siyoni usio na wa kuutunza!’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Lakini nitakurudishia afya yako na kuyaponya majeraha yako,’ asema Mwenyezi Mungu, ‘kwa sababu umeitwa mwenye kutupwa, Sayuni ambaye hakuna yeyote anayekujali.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Lakini nitakurudishia afya yako na kuyaponya majeraha yako,’ asema bwana, ‘kwa sababu umeitwa mwenye kutupwa, Sayuni ambaye hakuna yeyote anayekujali.’ Tazama sura |