Yeremia 30:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Wote wakupendao wamekusahau; hawakutafuti; maana nimekujeruhi kwa jeraha la adui, kwa adhabu ya mtu mkatili; kwa sababu ya ukubwa wa uovu wako, kwa sababu dhambi zako zilikuwa zimeongezeka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Wapenzi wako wote wamekusahau; hawajali chochote juu yako, nimekupiga pigo la adui; umeadhibiwa bila huruma, kwa kuwa kosa lako ni kubwa, dhambi zako ni nyingi mno. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Wapenzi wako wote wamekusahau; hawajali chochote juu yako, nimekupiga pigo la adui; umeadhibiwa bila huruma, kwa kuwa kosa lako ni kubwa, dhambi zako ni nyingi mno. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Wapenzi wako wote wamekusahau; hawajali chochote juu yako, nimekupiga pigo la adui; umeadhibiwa bila huruma, kwa kuwa kosa lako ni kubwa, dhambi zako ni nyingi mno. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Wale walioungana nawe wote wamekusahau, hawajali chochote kukuhusu wewe. Nimekupiga vile adui angekupiga, na kukuadhibu vile mtu mkatili angekuadhibu, kwa sababu hatia yako ni kubwa mno, na dhambi zako ni nyingi sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Wale walioungana nawe wote wamekusahau, hawajali chochote kukuhusu wewe. Nimekupiga kama vile adui angelifanya, na kukuadhibu kama vile mtu mkatili angelifanya, kwa sababu hatia yako ni kubwa mno na dhambi zako ni nyingi sana. Tazama sura |