Yeremia 3:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Na tulale kwa aibu yetu, haya yetu na itufunike; kwa maana tumemwasi BWANA, Mungu wetu, sisi na baba zetu, tangu ujana wetu hata leo; wala hatukuitii sauti ya BWANA, Mungu wetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Hatuna budi kujilaza chini kwa aibu, na kuiacha fedheha yetu itufunike. Tangu ujana wetu hadi leo hii, wazee wetu na sisi wenyewe tumetenda dhambi mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, wala hatukumtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Hatuna budi kujilaza chini kwa aibu, na kuiacha fedheha yetu itufunike. Tangu ujana wetu hadi leo hii, wazee wetu na sisi wenyewe tumetenda dhambi mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, wala hatukumtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Hatuna budi kujilaza chini kwa aibu, na kuiacha fedheha yetu itufunike. Tangu ujana wetu hadi leo hii, wazee wetu na sisi wenyewe tumetenda dhambi mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, wala hatukumtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Sisi na tulale chini katika aibu yetu, na fedheha yetu itufunike. Tumetenda dhambi dhidi ya Mwenyezi Mungu, Mungu wetu, sisi na mababa zetu; tangu ujana wetu hadi leo hatukumtii Mwenyezi Mungu, Mungu wetu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Sisi na tulale chini katika aibu yetu, na fedheha yetu itufunike. Tumetenda dhambi dhidi ya bwana Mwenyezi Mungu wetu, sisi na mababa zetu; tangu ujana wetu hadi leo hatukumtii bwana Mwenyezi Mungu wetu.” Tazama sura |