Yeremia 3:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Lakini kitu cha aibu kimeila kazi ya baba zetu tokea ujana wetu; makundi yao ya kondoo na ng'ombe, wana wao na binti zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 “ ‘Tangu ujana wetu, tendo hili la aibu limeangamiza kila kitu walichotolea jasho wazee wetu: Makundi yao ya kondoo na ng'ombe, wana wao na binti zao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 “ ‘Tangu ujana wetu, tendo hili la aibu limeangamiza kila kitu walichotolea jasho wazee wetu: Makundi yao ya kondoo na ng'ombe, wana wao na binti zao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 “‘Tangu ujana wetu, tendo hili la aibu limeangamiza kila kitu walichotolea jasho wazee wetu: makundi yao ya kondoo na ng'ombe, wana wao na binti zao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Tangu ujana wetu miungu ya aibu imeyala matunda ya kazi za baba zetu: makundi yao ya kondoo na ng’ombe, wana wao wa kiume na wa kike. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Tangu ujana wetu miungu ya aibu imeyala matunda ya kazi za baba zetu: makundi yao ya kondoo na ng’ombe, wana wao na binti zao. Tazama sura |