Yeremia 3:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Lakini mimi nilisema, Nitawezaje kukuweka pamoja na watoto, na kukupa nchi ipendezayo, urithi ulio mwema wa mataifa? Nami nikasema, Mtaniita, Baba yangu, wala hamtageuka na kuacha kunifuata. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Mwenyezi-Mungu asema, “Israeli, mimi niliwaza, laiti ningekuweka miongoni mwa wanangu, na kukupa nchi nzuri ajabu, urithi usio na kifani kati ya mataifa yote. Nilidhani ungeniita, ‘Baba Yangu’, na kamwe usingeacha kunifuata. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Mwenyezi-Mungu asema, “Israeli, mimi niliwaza, laiti ningekuweka miongoni mwa wanangu, na kukupa nchi nzuri ajabu, urithi usio na kifani kati ya mataifa yote. Nilidhani ungeniita, ‘Baba Yangu’, na kamwe usingeacha kunifuata. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Mwenyezi-Mungu asema, “Israeli, mimi niliwaza, laiti ningekuweka miongoni mwa wanangu, na kukupa nchi nzuri ajabu, urithi usio na kifani kati ya mataifa yote. Nilidhani ungeniita, ‘Baba Yangu’, na kamwe usingeacha kunifuata. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 “Mimi mwenyewe nilisema, “ ‘Tazama jinsi nitakavyowatunza kwa furaha kama wana na kuwapa nchi nzuri, urithi ulio mzuri kuliko wa taifa jingine lolote.’ Nilidhani mngeniita ‘Baba,’ na msingegeuka, mkaacha kunifuata. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 “Mimi mwenyewe nilisema, “ ‘Tazama jinsi nitakavyowatunza kwa furaha kama wana na kuwapa nchi nzuri, urithi ulio mzuri kuliko wa taifa jingine lolote.’ Nilidhani mngeniita ‘Baba,’ na msingegeuka, mkaacha kunifuata. Tazama sura |