Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 28:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Ndipo neno la BWANA likamjia Yeremia, baada ya Hanania, nabii, kuivunja ile nira iliyokuwa juu ya shingo ya Yeremia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Baada ya nabii Hanania kuvunja nira kutoka shingoni mwa nabii Yeremia, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Baada ya nabii Hanania kuvunja nira kutoka shingoni mwa nabii Yeremia, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Baada ya nabii Hanania kuvunja nira kutoka shingoni mwa nabii Yeremia, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kitambo kidogo baada ya nabii Hanania kuivunja nira kutoka shingo ya nabii Yeremia, neno la Mwenyezi Mungu likamjia Yeremia:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kitambo kidogo baada ya nabii Hanania kuivunja nira kutoka shingo ya nabii Yeremia, neno la bwana likamjia Yeremia:

Tazama sura Nakili




Yeremia 28:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, kabla Isaya hajatoka katika mji wa kati, neno la BWANA likamjia, kusema,


Ikawa usiku uo huo, neno la Mungu likamjia Nathani, kusema,


ambaye neno la BWANA lilimjia katika siku za Yosia, mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na tatu wa kutawala kwake.


BWANA ameniambia hivi, Jitengenezee vifungo na nira, ukajivike shingoni;


Ndipo neno la BWANA likamjia Yeremia, kusema,


katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake, mimi Danieli, kwa kuvisoma vitabu, nilifahamu hesabu ya miaka, ambayo neno la BWANA lilimjia Yeremia nabii, ya kuutimiza ukiwa wa Yerusalemu, yaani, miaka sabini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo