Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 28:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Ndipo nabii Hanania akaitwaa hiyo nira iliyokuwa juu ya shingo ya Yeremia, akaivunja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Ndipo nabii Hanania akaichukua ile nira shingoni mwa nabii Yeremia, akaivunja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Ndipo nabii Hanania akaichukua ile nira shingoni mwa nabii Yeremia, akaivunja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Ndipo nabii Hanania akaichukua ile nira shingoni mwa nabii Yeremia, akaivunja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja,

Tazama sura Nakili




Yeremia 28:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na Sedekia mwana wa Kenaana akajifanyia pembe za chuma, akasema, BWANA asema hivi, Kwa hizo utawasukuma Washami, hata waharibike.


BWANA ameniambia hivi, Jitengenezee vifungo na nira, ukajivike shingoni;


BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nimeivunja nira ya mfalme wa Babeli.


Nami nitamrudisha hapa Yekonia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, pamoja na mateka wote wa Yuda, waliokwenda Babeli, asema BWANA; maana nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.


Wako wapi sasa manabii wenu waliowatabiria, wakisema, Mfalme wa Babeli hatakuja juu yenu, wala juu ya nchi hii?


Huko Tapanesi nako mchana utakuwa giza, nitakapovunja huko kongwa za Misri, na kiburi cha uwezo wake kitakoma ndani yake, na katika habari zake, wingu litaifunika, na binti zake watakwenda utumwani.


Maneno yenu yamekuwa magumu juu yangu, asema BWANA. Lakini ninyi mwasema, Tumesema maneno juu yako kwa namna gani?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo