Yeremia 28:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Ndipo nabii Hanania akaitwaa hiyo nira iliyokuwa juu ya shingo ya Yeremia, akaivunja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Ndipo nabii Hanania akaichukua ile nira shingoni mwa nabii Yeremia, akaivunja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Ndipo nabii Hanania akaichukua ile nira shingoni mwa nabii Yeremia, akaivunja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Ndipo nabii Hanania akaichukua ile nira shingoni mwa nabii Yeremia, akaivunja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja, Tazama sura |