Yeremia 27:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Uwaagize waende kwa bwana zao, na kuwaambia, BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Mtawaambia bwana zenu maneno haya; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Waamuru wajumbe hao wawaambie wakuu wao kwamba mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, nasema hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Waamuru wajumbe hao wawaambie wakuu wao kwamba mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, nasema hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Waamuru wajumbe hao wawaambie wakuu wao kwamba mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, nasema hivi: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Wape ujumbe kwa ajili ya mabwana zao na uwaambie: Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, Mungu wa Israeli: ‘Waambieni hivi mabwana zenu: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Wape ujumbe kwa ajili ya mabwana zao na uwaambie: Hili ndilo asemalo bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Waambieni hivi mabwana zenu: Tazama sura |