Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 26:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Ndipo watu kadhaa miongoni mwa wazee wa nchi wakaondoka, wakanena na mkutano wa watu, wakisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, baadhi ya wazee wa nchi wakasimama na kuwaambia watu waliokuwa wamekusanyika:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, baadhi ya wazee wa nchi wakasimama na kuwaambia watu waliokuwa wamekusanyika:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, baadhi ya wazee wa nchi wakasimama na kuwaambia watu waliokuwa wamekusanyika:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Baadhi ya wazee wa nchi wakasogea mbele, wakaliambia kusanyiko lote la watu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Baadhi ya wazee wa nchi wakasogea mbele, wakaliambia kusanyiko lote la watu,

Tazama sura Nakili




Yeremia 26:17
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mikaya Mmorashti, alitabiri katika siku za Hezekia, mfalme wa Yuda; akasema na watu wote wa Yuda, ya kwamba, BWANA wa majeshi asema hivi, Sayuni utalimwa kama shamba lilimwavyo, na Yerusalemu utakuwa magofu, na mlima wa nyumba utakuwa kama mahali palipoinuka msituni.


Hili ndilo neno la BWANA lililomjia Mika, Mmoreshathi, katika siku za Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; maono aliyoyaona kuhusu Samaria na Yerusalemu.


Lakini mtu mmoja, Farisayo, jina lake Gamalieli, mwalimu wa torati, mwenye kuheshimiwa na watu wote, akasimama katika baraza, akaamuru mitume wawekwe nje kitambo kidogo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo