Yeremia 25:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Basi BWANA wa majeshi asema hivi, Kwa kuwa hamkuyasikiliza maneno yangu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 “Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nasema hivi: “Kwa kuwa hamkuyatii maneno yangu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 “Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nasema hivi: “Kwa kuwa hamkuyatii maneno yangu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 “Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nasema hivi: “Kwa kuwa hamkuyatii maneno yangu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kwa hiyo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni asema hivi: “Kwa sababu hamkuyasikiliza maneno yangu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kwa hiyo bwana Mwenye Nguvu Zote asema hivi: “Kwa sababu hamkuyasikiliza maneno yangu, Tazama sura |
angalieni, nitatuma watu na kuzitwaa jamaa zote za upande wa kaskazini, asema BWANA, nami nitatuma ujumbe kwa Nebukadneza, mfalme wa Babeli, mtumishi wangu, nami nitawaleta juu ya nchi hii, na juu yao wakaao ndani yake, na juu ya mataifa haya yote yaliyoko pande zote; nami nitawaangamiza kabisa, na kuwafanya kitu cha kushangaza, na kitu cha kuzomewa, na ukiwa wa daima.