Yeremia 25:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Mshindo utafika hata mwisho wa dunia; Maana BWANA ana mashindano na mataifa, Atateta na watu wote wenye mwili; Na waovu atawatoa wauawe kwa upanga; asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Vishindo hivyo vitasikika hadi mwisho wa dunia, maana Mwenyezi-Mungu ana mashtaka dhidi ya mataifa; anawahukumu wanadamu wote, na waovu atawaua kwa upanga! Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Vishindo hivyo vitasikika hadi mwisho wa dunia, maana Mwenyezi-Mungu ana mashtaka dhidi ya mataifa; anawahukumu wanadamu wote, na waovu atawaua kwa upanga! Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Vishindo hivyo vitasikika hadi mwisho wa dunia, maana Mwenyezi-Mungu ana mashtaka dhidi ya mataifa; anawahukumu wanadamu wote, na waovu atawaua kwa upanga! Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Ghasia zitasikika hadi miisho ya dunia, kwa maana Mwenyezi Mungu ataleta hukumu dhidi ya mataifa; ataleta hukumu juu ya wanadamu wote na kuwaua waovu wote kwa upanga,’ ” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Ghasia zitasikika hadi miisho ya dunia, kwa maana bwana ataleta mashtaka dhidi ya mataifa; ataleta hukumu juu ya wanadamu wote na kuwaua waovu wote,’ ” asema bwana. Tazama sura |