Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 25:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 ambalo Yeremia, nabii, aliwaambia watu wote wa Yuda, na wenyeji wote wa Yerusalemu, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mimi Yeremia niliwaambia ujumbe huo watu wote wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mimi Yeremia niliwaambia ujumbe huo watu wote wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mimi Yeremia niliwaambia ujumbe huo watu wote wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Nabii Yeremia akawaambia watu wote wa Yuda na wote wanaoishi Yerusalemu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Hivyo nabii Yeremia akawaambia watu wote wa Yuda na wale wote waishio Yerusalemu:

Tazama sura Nakili




Yeremia 25:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Haya! Basi, ukawaambie watu wa Yuda, na wenyeji wa Yerusalemu, ukisema, BWANA asema hivi, Tazama, ninafinyanga mabaya juu yenu, na kuwaza mawazo juu yenu; rudini sasa, kila mmoja na aiache njia yake mbaya; zitengenezeni njia zenu, na matendo yenu.


Tangu mwaka wa kumi na tatu wa kutawala kwake Yosia, mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, hata siku hii ya leo, miaka hii ishirini na mitatu, neno la BWANA limenijia, nami nimesema nanyi, nikiamka mapema na kusema; lakini ninyi hamkusikiliza.


BWANA asema hivi, Simama katika uwanja wa nyumba ya BWANA, useme na miji yote ya Yuda, wajao ili kuabudu katika nyumba ya BWANA; sema nao maneno yote ninayokuamuru kuwaambia, usizuie hata neno moja.


BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nenda ukawaambie wana wa Yuda, na wenyeji wa Yerusalemu, Je! Hamtaki kupokea mafundisho, myasikilize maneno yangu? Asema BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo