Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 25:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Farao, mfalme wa Misri, na watumishi wake na wakuu wake na watu wake wote;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Farao, mfalme wa Misri, maofisa na viongozi wake, pamoja na watu wake wote;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Farao, mfalme wa Misri, maofisa na viongozi wake, pamoja na watu wake wote;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Farao, mfalme wa Misri, maofisa na viongozi wake, pamoja na watu wake wote;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Farao mfalme wa Misri, watumishi wake, maafisa wake na watu wake wote,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 pia Farao mfalme wa Misri, watumishi wake, maafisa wake na watu wake wote,

Tazama sura Nakili




Yeremia 25:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitawasha moto katika nyumba za miungu ya Misri, na kuziteketeza, na kuwachukua mateka; naye atajipamba kwa nchi ya Misri, kama vile mchungaji avaavyo nguo zake; naye atatoka huko na amani.


Naye atazivunja nguzo za Beth-shemeshi, iliyoko huko katika nchi ya Misri, na nyumba za miungu ya Misri ataziteketeza.


Kuhusu Misri; habari za jeshi la Farao Neko, mfalme wa Misri, lililokuwa karibu na mto Frati katika Karkemishi, ambalo Nebukadneza, mfalme wa Babeli, alilipiga katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo