Yeremia 23:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Katika siku zake Yuda ataokolewa, na Israeli atakaa salama, na jina lake atakaloitwa ni hili, BWANA ni haki yetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Katika siku za utawala wake, Yuda ataokolewa na Israeli ataishi kwa usalama. Naye ataitwa, ‘Mwenyezi-Mungu ni uadilifu wetu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Katika siku za utawala wake, Yuda ataokolewa na Israeli ataishi kwa usalama. Naye ataitwa, ‘Mwenyezi-Mungu ni uadilifu wetu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Katika siku za utawala wake, Yuda ataokolewa na Israeli ataishi kwa usalama. Naye ataitwa, ‘Mwenyezi-Mungu ni uadilifu wetu.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Katika utawala wake., Yuda ataokolewa na Israeli ataishi salama. Hili ndilo jina atakaloitwa: Mwenyezi Mungu ni Haki Yetu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Katika siku zake, Yuda ataokolewa na Israeli ataishi salama. Hili ndilo jina atakaloitwa: bwana Haki Yetu. Tazama sura |