Yeremia 23:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Nawe utamwambia nabii hivi, BWANA amekujibu nini? Na, BWANA amesemaje? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Basi mtamwuliza nabii hivi: ‘Mwenyezi-Mungu amekujibu nini?’ au, ‘Mwenyezi-Mungu amesema nini?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Basi mtamwuliza nabii hivi: ‘Mwenyezi-Mungu amekujibu nini?’ au, ‘Mwenyezi-Mungu amesema nini?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Basi mtamwuliza nabii hivi: ‘Mwenyezi-Mungu amekujibu nini?’ au, ‘Mwenyezi-Mungu amesema nini?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Hivi ndivyo utakavyoendelea kumuuliza nabii: ‘Mwenyezi Mungu amekujibu nini?’ au ‘Je, Mwenyezi Mungu amesema nini?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Hivi ndivyo utakavyoendelea kumuuliza nabii: ‘bwana amekujibu nini?’ au ‘Je, bwana amesema nini?’ Tazama sura |