Yeremia 23:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC35 Mtasema hivi kila mtu na jirani yake, na kila mtu na ndugu yake, BWANA amejibu mtu? Na, BWANA amesemaje? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Kitu mnachopaswa kuulizana nyinyi kwa nyinyi ni ‘Mwenyezi-Mungu amejibu nini?’ au, ‘Mwenyezi-Mungu amesema nini?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Kitu mnachopaswa kuulizana nyinyi kwa nyinyi ni ‘Mwenyezi-Mungu amejibu nini?’ au, ‘Mwenyezi-Mungu amesema nini?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Kitu mnachopaswa kuulizana nyinyi kwa nyinyi ni ‘Mwenyezi-Mungu amejibu nini?’ au, ‘Mwenyezi-Mungu amesema nini?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Mnaambiana kila mmoja na mwenzake, au kwa mtu wa nyumba yao: ‘Mwenyezi Mungu amejibu nini?’ au ‘Mwenyezi Mungu amesema nini?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Hivyo mnaambiana kila mmoja na mwenzake, au kwa mtu wa nyumba yao: ‘bwana amejibu nini?’ au ‘bwana amesema nini?’ Tazama sura |