Yeremia 23:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Basi kwa sababu hiyo mimi niko juu ya manabii hao, asema BWANA, wanaompokonya kila mtu jirani yake maneno yangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu nitawashambulia manabii ambao wanaibiana maneno yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu nitawashambulia manabii ambao wanaibiana maneno yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu nitawashambulia manabii ambao wanaibiana maneno yangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 “Kwa hiyo, niko kinyume na manabii wanaoibiana maneno kana kwamba ni yangu,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 “Kwa hiyo, niko kinyume na manabii wanaoibiana maneno kana kwamba ni yangu,” asema bwana. Tazama sura |