Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 23:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Je! Neno langu si kama moto? Asema BWANA; na kama nyundo ivunjayo mawe vipande vipande?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Neno langu ni kama moto; ni kama nyundo ipasuayo miamba vipandevipande.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Neno langu ni kama moto; ni kama nyundo ipasuayo miamba vipandevipande.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Neno langu ni kama moto; ni kama nyundo ipasuayo miamba vipandevipande.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 “Je, neno langu si kama moto,” asema Mwenyezi Mungu, “na kama nyundo ivunjayo mwamba vipande vipande?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 “Je, neno langu si kama moto,” asema bwana, “na kama nyundo ivunjayo mwamba vipande vipande?

Tazama sura Nakili




Yeremia 23:29
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nikisema, Sitamtaja, wala sitasema tena kwa jina lake; basi, ndipo moyoni mwangu kumekuwamo kama moto uwakao, uliofungwa ndani ya mifupa yangu, nami nimechoka kwa kustahimili, wala siwezi kujizuia.


Kwa sababu hiyo BWANA, Mungu wa majeshi, asema hivi, Kwa sababu mnasema neno hili, tazama, nitafanya maneno yangu katika kinywa chako kuwa moto, na watu hawa kuwa kuni, nao moto utawala.


Kwa sababu hiyo nimewakatakata kwa vinywa vya manabii; nimewaua kwa maneno ya kinywa changu; na hukumu yangu itatokea kama mwanga.


Wakaambiana, Je! Mioyo yetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi njiani, na kutufunulia Maandiko?


Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.


Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao.


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


katika hao wa pili harufu ya mauti iletayo mauti; katika hao wa kwanza harufu ya uzima iletayo uzima. Naye ni nani atoshaye kwa mambo hayo?


Maana neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena ni jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.


Na mtu akitaka kuwadhuru, moto hutoka katika vinywa vyao na kuwala adui zao. Na mtu akitaka kuwadhuru, hivyo ndivyo impasavyo kuuawa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo