Yeremia 23:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Maana nchi imejaa wazinzi; kwa sababu ya kuapa nchi inaomboleza; malisho ya nyikani yamekauka; mwenendo wao ni mbaya, na nguvu zao si za haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Maana, nchi imejaa wazinzi; kwa sababu ya laana, nchi inaomboleza, na malisho ya nyanda zake yamekauka. Mienendo ya watu ni miovu, nguvu zao zinatumika isivyo halali. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Maana, nchi imejaa wazinzi; kwa sababu ya laana, nchi inaomboleza, na malisho ya nyanda zake yamekauka. Mienendo ya watu ni miovu, nguvu zao zinatumika isivyo halali. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Maana, nchi imejaa wazinzi; kwa sababu ya laana, nchi inaomboleza, na malisho ya nyanda zake yamekauka. Mienendo ya watu ni miovu, nguvu zao zinatumika isivyo halali. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Nchi imejaa wazinzi; kwa sababu ya laana, nchi imekauka, na malisho ya nyikani yamekauka. Mwenendo wa manabii ni mbaya na mamlaka yao si ya haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Nchi imejaa wazinzi; kwa sababu ya laana, nchi imekauka na malisho yaliyoko nyikani yamekauka. Mwenendo wa manabii ni mbaya na mamlaka yao si ya haki. Tazama sura |