Yeremia 23:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 “Ole wao wachungaji wanaoharibu na kutawanya kondoo wa malisho yangu!” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 “Ole wao wachungaji wanaoharibu na kutawanya kondoo wa malisho yangu!” asema bwana. Tazama sura |