Yeremia 22:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Alihukumu maneno ya maskini na mhitaji; hapo ndipo alipofanikiwa. Je! Huku siko kunijua, asema BWANA? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Aliwapatia haki maskini na wahitaji, na mambo yake yakamwendea vema. Hii ndiyo maana ya kunijua mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Aliwapatia haki maskini na wahitaji, na mambo yake yakamwendea vema. Hii ndiyo maana ya kunijua mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Aliwapatia haki maskini na wahitaji, na mambo yake yakamwendea vema. Hii ndiyo maana ya kunijua mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Aliwatetea maskini na wahitaji, hivyo yeye akafanikiwa katika yote. Je, hiyo si ndiyo maana ya kunijua mimi?” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Aliwatetea maskini na wahitaji, hivyo yeye akafanikiwa katika yote. Je, hiyo si ndiyo maana ya kunijua mimi?” asema bwana. Tazama sura |