Yeremia 20:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Maana kila ninenapo napiga kelele, nalia, Dhuluma na uharibifu! Kwa kuwa neno la BWANA limefanywa shutumu kwangu, na dhihaka, mchana kutwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kila ninaposema kitu, nalalamika, napaza sauti, “Ukatili na uharibifu!” Maana kwangu kutangaza neno la Mwenyezi-Mungu kwanifanya nishutumiwe na kudhihakiwa kutwa nzima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kila ninaposema kitu, nalalamika, napaza sauti, “Ukatili na uharibifu!” Maana kwangu kutangaza neno la Mwenyezi-Mungu kwanifanya nishutumiwe na kudhihakiwa kutwa nzima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kila ninaposema kitu, nalalamika, napaza sauti, “Ukatili na uharibifu!” Maana kwangu kutangaza neno la Mwenyezi-Mungu kwanifanya nishutumiwe na kudhihakiwa kutwa nzima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kila ninenapo, ninapiga kelele nikitangaza ukatili na uharibifu. Kwa hiyo neno la Mwenyezi Mungu limeniletea matukano na mashutumu mchana kutwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kila ninenapo, ninapiga kelele nikitangaza ukatili na uharibifu. Kwa hiyo neno la bwana limeniletea matukano na mashutumu mchana kutwa. Tazama sura |