Yeremia 20:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Ee BWANA, umenihadaa, nami nimehadaika; wewe una nguvu kuliko mimi, ukashinda; nimekuwa kitu cha kuchekesha, mchana kutwa; kila mtu hunidhihaki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Ee Mwenyezi-Mungu, wewe umenidanganya, nami kweli nikadanganyika; wewe una nguvu kuliko mimi, nawe umeshinda. Kutwa nzima nimekuwa mtu wa kuchekwa, kila mtu ananidhihaki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Ee Mwenyezi-Mungu, wewe umenidanganya, nami kweli nikadanganyika; wewe una nguvu kuliko mimi, nawe umeshinda. Kutwa nzima nimekuwa mtu wa kuchekwa, kila mtu ananidhihaki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Ee Mwenyezi-Mungu, wewe umenidanganya, nami kweli nikadanganyika; wewe una nguvu kuliko mimi, nawe umeshinda. Kutwa nzima nimekuwa mtu wa kuchekwa, kila mtu ananidhihaki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Ee Mwenyezi Mungu, umenidanganya, nami nikadanganyika; wewe una nguvu kuliko mimi, nawe umenishinda. Ninadharauliwa mchana kutwa, kila mmoja ananidhihaki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Ee bwana, umenidanganya, nami nikadanganyika; wewe una nguvu kuniliko, nawe umenishinda. Ninadharauliwa mchana kutwa, kila mmoja ananidhihaki. Tazama sura |