Yeremia 20:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Mtu huyo na awe kama miji ile, ambayo BWANA aliiangamiza, asijute; na asikie kilio asubuhi, na kelele za fujo adhuhuri; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Mtu huyo na awe kama miji aliyoiangusha Mwenyezi-Mungu bila huruma. Mtu huyo na asikie kilio asubuhi, na mchana kelele za vita, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Mtu huyo na awe kama miji aliyoiangusha Mwenyezi-Mungu bila huruma. Mtu huyo na asikie kilio asubuhi, na mchana kelele za vita, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Mtu huyo na awe kama miji aliyoiangusha Mwenyezi-Mungu bila huruma. Mtu huyo na asikie kilio asubuhi, na mchana kelele za vita, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Mtu huyo na awe kama ile miji ambayo Mwenyezi Mungu aliiangamiza bila huruma. Yeye na asikie maombolezo asubuhi, na ukelele wa vita adhuhuri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Mtu huyo na awe kama miji ile ambayo bwana Mwenyezi Mungu aliiangamiza bila huruma. Yeye na asikie maombolezo asubuhi na kilio cha vita adhuhuri. Tazama sura |