Yeremia 20:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Lakini BWANA yuko pamoja nami, mfano wa shujaa mwenye kutisha; kwa hiyo hao wanaonionea watajikwaa, wala hawatashinda; watatahayarika sana. Kwa sababu hawatafaulu wataona aibu ya milele, ambayo haitasahauliwa kamwe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Lakini wewe Mwenyezi-Mungu u pamoja nami kwangu wewe ni kama shujaa wa kutisha; kwa hiyo watesi wangu watajikwaa, na hawataweza kunishinda. Wataaibika kupindukia, maana hawatafaulu. Fedheha yao itakuwa ya daima; kamwe haitasahaulika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Lakini wewe Mwenyezi-Mungu u pamoja nami kwangu wewe ni kama shujaa wa kutisha; kwa hiyo watesi wangu watajikwaa, na hawataweza kunishinda. Wataaibika kupindukia, maana hawatafaulu. Fedheha yao itakuwa ya daima; kamwe haitasahaulika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Lakini wewe Mwenyezi-Mungu u pamoja nami kwangu wewe ni kama shujaa wa kutisha; kwa hiyo watesi wangu watajikwaa, na hawataweza kunishinda. Wataaibika kupindukia, maana hawatafaulu. Fedheha yao itakuwa ya daima; kamwe haitasahaulika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Lakini Mwenyezi Mungu yu pamoja nami kama mpiganaji mwenye nguvu; kwa hiyo watesi wangu watajikwaa, Hawatashinda, nao wataaibika sana; aibu yao haitasahaulika milele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Lakini bwana yu pamoja nami kama shujaa mwenye nguvu; hivyo washtaki wangu watajikwaa na kamwe hawatashinda. Watashindwa, nao wataaibika kabisa; kukosa adabu kwao hakutasahauliwa. Tazama sura |