Yeremia 2:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC36 Mbona unatangatanga hivi upate kugeuza mwendo wako? Utaona haya kwa ajili ya Misri pia, kama ulivyoona haya kwa ajili ya Ashuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Kwa nini unajirahisisha hivi, ukibadilibadili mwenendo wako? Utaaibishwa na Misri, kama ulivyoaibishwa na Ashuru. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Kwa nini unajirahisisha hivi, ukibadilibadili mwenendo wako? Utaaibishwa na Misri, kama ulivyoaibishwa na Ashuru. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Kwa nini unajirahisisha hivi, ukibadilibadili mwenendo wako? Utaaibishwa na Misri, kama ulivyoaibishwa na Ashuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Kwa nini unatangatanga sana, ukibadili njia zako? Utakatishwa tamaa na Misri kama ulivyokatishwa na Ashuru. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Kwa nini unatangatanga sana, kubadili njia zako? Utakatishwa tamaa na Misri kama ulivyokatishwa na Ashuru. Tazama sura |