Yeremia 2:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Nimewapiga watoto wako bure; hawakukubali kurudiwa; upanga wenu wenyewe umewala manabii wako, kama simba aharibuye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Niliwaadhibu watu wako bila kufanikiwa, wao wenyewe walikataa kukosolewa. Upanga wako uliwamaliza manabii wako kama simba mwenye uchu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Niliwaadhibu watu wako bila kufanikiwa, wao wenyewe walikataa kukosolewa. Upanga wako uliwamaliza manabii wako kama simba mwenye uchu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Niliwaadhibu watu wako bila kufanikiwa, wao wenyewe walikataa kukosolewa. Upanga wako uliwamaliza manabii wako kama simba mwenye uchu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 “Nimeadhibu watu wako bure tu, hawakujirekebisha. Upanga wako umewala manabii wako kama simba mwenye njaa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 “Nimeadhibu watu wako bure tu, hawakujirekebisha. Upanga wako umewala manabii wako kama simba mwenye njaa. Tazama sura |